Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yamtambulisha kocha wa viungo

Alhamisi , 17th Nov , 2022

Klabu ya Simba SC imetambulisha rasmi Kocha wa Viungo Kelvin Mandla kutoka nchini Afrika Kusini, ambaye anajiunga na Benchi la Ufundi linaloongozwa na Kaimu Kocha Mkuu Juma Ramadhan Mgunda.

Kelvin Mandla Ndlomo (30) kuwa kocha mpya wa viungo kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Simba SC imekua ikipitia wakati mgumu baada ya kuondoka kwa Kocha wa Viungo Sbai Karim aliyeongozana na aliyekua Kocha wa Klabu hiyo kutoka Serbia Zoran Maki ambaye aliyeamua kutimka mwanzoni mwa msimu huu, ikiwa ni siku chache baada ya kusaini mkataba wa kuanza kazi klabuni hapo.

Kocha Mandla ametangazwa kupitia Simba App na Kurasa za Mitandao za Klabu ya Simba leo Alhamis (Novemba 17), majira ya saa kumi jioni, akitanguliwa na Kocha wa Makipa Chlouha Zakaria, ambaye aliyetambulishwa mwanzoni mwa juma hili.

Kutambulishwa wa Kocha huyo kunatarajiwa mabadiliko makubwa katika utimamu wa miili ya Wachezaji wa Simba SC ambao wamekua wakilalamikiwa kukosa sifa ya kuhimili upinzani kutoka kwenye timu pinzani wanazokutana nazo katika Michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu 2022/23.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava