Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yafafanua ujio wa Aussems

Jumanne , 27th Sep , 2022

Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini.

Patrick Aussems

Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki.

Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa kuna makocha wengi wanahitaji kufanya kazi na timu hiyo ila wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi.

“Iwe huyo ambaye unamtaja, (Aussems) ama hao wengine wanaotajwa hatuwezi kuweka wazi majina yao mpaka mchakato utakapokamilika kwani kwa sasa kikosi kinaendelea na mipango yake. Juma Mgunda ambaye yupo na timu uwezo wake unaoneana kwenye mechi tatu kashinda zote na tena ni mechi ngumu ukianza za kimataifa mbili pamoja na ligi dhidi ya Tanzania Prisons hii inamaanisha uwezo wake sio wa kubeza, mashabiki wawe na utulivu,” amesema Ally.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava