Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wamaliza mzunguko wa kwanza kibabe

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Mchezo wa dhidi ya Coastal Union uliopigwa Desemba 2, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga tulioibuka na ushindi wa mabao 3-0 ulikuwa wa 15 ambao umekamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi.

Mpaka tumekamilisha mzunguko wa kwanza tumefanikiwa kukusanya alama 34 tukicheza mechi 15 tukishinda 10 sare nne na kupoteza moja.

Tumefanikiwa kufunga mabao 31 na kuruhusu kufungwa saba pekee tukiwa na uwiano wa mabao 24.

Nyota wetu 11 kwa pamoja ndiyo waliofunga idadi hiyo ya mabao huku Moses Phiri akiwa kinara akicheka na nyavu mara 10.

Wachezaji waliofunga katika mzunguko wa kwanza wa ligi

1. Moses Phiri 10
2. John Bocco 4
3. Augustine Okrah 3
4. Pape Sakho 3
5. Habib Kyombo 2
6. Mzamiru Yassin 2
7. Clatous Chama 2
8. Dejan Georgijevic 1
9. Jonas Mkude 1
10. Peter Banda 1
11. Shomari Kapombe 1

Wachezaji waliotoa assist kwenye mzunguko wa kwanza

1. Clatous Chama 7
2. Mohamed Hussein 4
3. Moses Phiri 2
4. Mzamiru Yassin 2
5. Mohamed Ouattara 1
6. Kibu Denis 1
7. Augustine Okrah 1
8. Gadiel Michael 1
9. Shomari Kapombe 1
10. Jonas Mkude 1
11. Sadio Kanoute 1

Mlinda Aishi Manula amepata Clean Sheet 9 na ndiye kinara akiongoza makipa wote wa Ligi Kuu ya NBC.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava