Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Feisal anastahili kuwa uwanjani''Fatma Karume

Jumapili , 5th Mar , 2023

Mwanasheria wa Kiungo kutoka Zanzibar Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema ni mapema mno kuzungumza lolote kwa sasa, kufuatia maamuzi yaliyotangazwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’.

Fatma Karume ambaye alikuwa sehemu ya Wanasheria wa Kiungo huyo

Feisal aliomba kurejewa kwa maamuzi ya shauri lake dhidi ya Young Africans, lakini bado Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ikaendelea kusimamia msimamo wake wa kumtambua kama Mchezaji halali wa Klabu hiyo ya Jangwani.

Fatma Karume ambaye alikuwa sehemu ya Wanasheria wa Kiungo huyo katika marejeo ya Shauri la Feisal dhidi ya Young Africans jana Alhamis (Machi 02), amesema wanachosubiri kwa sasa ni nakala ya hukumu ili taratibu nyingine zifuate ikiwa pamoja na kumshauri mteja wake.

Amesema jambo kubwa na la msingi katika kesi hiyo, ni mteja wake kulazimishwa kuendelea kuitumikia Young Africans, ili hali yeye mwenyewe hataki kufanya hivyo, na TFF kupitia Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji wanapaswa kuzingatia suala hilo.

“Tunasubiri nakala ya hukumu kutoka TFF na kisha nitamshauri Fei Toto kama maamuzi yake yatabaki hivyo tutaenda CAS.”

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava