
Rais wa Shirikisho la soka nchini, Wallace Karia.

Mkuu wa wilaya ya Kibaha, Sarah Msafiri

Wanafunzi wakikimbia kwa kuhofia kuchomwa chanjo ya COVID-19

Kushoto ni muuguzi Scolastica Kanje na Mwalimu Omary Kwesiga, wakiigiza kuchomana chanjo na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene

Timu ya Mexico ikishangilia kwa kumrusha juu kocha wake, Jaime Lozano baada ya kuibuka kuwa washindi watatu wa Olympic kwa upande wa soka na kupata medali ya shaba mchana wa leo kwa kuifunga Japana 3-1.

Lionel Messi (kushoto) na rais wa Barcelona, Juan Laporta (kulia).

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF), Jenerali Venance Mabeyo (Kushoto), Kulia ni wanajeshi wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Marehemu Elias John Kwandikwa.

Roma Mkatoliki kushoto, kulia Nikki Mbishi