
Gareth Bale atakuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa EPL leo kati ya Tottenham dhidi ya Chelsea.
6 Nov . 2023

Waziri wa Madini wa Malawi, Monica Chang'anamuno (kushoto) akimkabidhi tuzo ya mshindi wa jumla katika kipengele cha uhifadhi mazingira, afya na usalama mahala pa kazi, Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong. Kulia ni Waziri wa Madini, Anthony Mavunde. Hafla hiyo iliyofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.
5 Nov . 2023