Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazidi kuijaza Simba 'presha' VPL

Jumanne , 17th Jan , 2017

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga imezidi kuwafanya wapenzi wa Simba kuishi kwa wasiwasi baada ya leo kuchukua point 3 kwa Majimaji ya Songea, na kufikisha point 43, ikiwa ni point moja tu nyuma vinara wa ligi, Simba SC.

Yanga na Majimaji (Maktaba)

Katika mchezo wa leo, Yanga imetumia uzoefu na ukubwa wake katika ligi hiyo, ha kufanikiwa kupata bao pekee katika dakika ya 14 kupitia kwa Deus Kaseke aliyemalizia mpira uliopanguliwa na kipa wa Majimaji wakati akicheza kros ya Haruna Niyonzima kutoka winga ya kushoto.

Majimaji ambao wako chini ya udhamini mpya na kocha Kally Ongala, katika mchezo wa leo wameonesha mchezo wa ushindani huku wakimiliki mpira zaidi ya Yanga, lakini wamekosa mbinu ambazo zingeweza kuleta madhara kwenye lango la Yanga.

Hadi mwisho wa mchezo kutoka katika dimba la Majimaji Songea, Yanga bao 1, Majimaji 0.

Matokeo haya yanaiongezea Yanga mtaji wa kusaka kukaa kileleni kwani endapo Simba watashindwa kupata point 3 katika mcheo wa kesho,tofauti itakuwa ni point moja, ambayo itawafanya wawe na nafasi nzuri ya kuwashusha Simba kileleni.

Kwa upande wao Simba wanashuka dimbani kesho kukipiga na Mtibwa Sugar katika dimba la Jamhuri Morogoro.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava