Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa tamko kuhusu Haji Manara

Ijumaa , 19th Feb , 2021

Klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake Fredrick Mwakalebela, imesema tayari imeshachukua hatua dhidi ya Afisa Habari wa Simba SC Haji Manara kwa kitendo cha kuchafua Chapa yao.

Msemaji wa Simba, Haji Manara.

Akiongea mbele ya waandishi wa habari leo Februari 19, 2021, Mwakalebela amesema wametoa siku 14 kwa Manara kuhakikisha anaomba radhi hadharani.

''Kuna mtu anaitwa Haji Manara, amekuwa akidhihaki sana brand yetu mpaka ametuletea matatizo na mdhamini wetu, tumempa siku 14 ajitokeze hadharani kuomba radhi na tumemfikisha kwa TFF pia hatua zichukuliwe na iwe fundisho kwa wengine'', amesema Mwakalebela.

Aidha Mwakalebela ametoa ufafanuzi kuhusu suala la Bernard Morrison, ambapo ameitaka TFF kuchukua hatua.

''Suala la Morrison tumeshapeleka malalamiko yetu kwa TFF kuwa kuna mkataba feki tunaomba tuitwe kuthibitisha lakini hatujaitwa, ila la mtu wetu Hassan Bumbuli limefanyiwa kazi na akafungiwa, kiukweli tunashangaa'' amesema.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava