Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaongeza wengine watatu

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Kamati ya Yanga imewateua Mohamed Nyenge, Tonny Mark na Majid Suleiman kuwa wajumbe wa kamati hiyo ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano ya klabu hiyo, uamuzi huo umefanywa katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika tarehe 15/07/2017 ikiwa ni kwa mujibu wa ibara ya 28(1)(d) ya katiba ya Yanga.

Taarifa hiyo imesema kuwa lengo la uteuzi huo ni kujaza nafasi mbili zilizokuwa wazi, na moja iliyoachwa na mjumbe ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa kamati ya mashindano aliyekwenda nje ya nchi kwaajili ya masomo.

Wakati huo huo, makamu mwenyekiti wa klabu hiyo Clement Sanga mwishoni mwa wiki alikutana na wachezaji wa zamani waliopitia klabu hiyo na kuazimia kushirikiana ikiwa ni pamoja na kuwaweka wachezaji hao karibu na klabu.

Katika kufanikisha ushirikiano huo, Sanga na wachezaji hao wamekubaliana kuunda safu ya uongozi wao itakayorahisisha mawasiliano baina yao na uongozi wa klabu, kuweka kumbukumbu kwaajili ya historia ya klabu na vizazi vijavyo kupitia wao, pamoja na kusaidiana katika suala zima la ugunduzi wa vipaji vya wachezaji kwa manufaa ya klabu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava