Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga wafafanua tiketi zao kuingiliana na Simba

Ijumaa , 9th Aug , 2019

Uongozi wa klabu ya Yanga umefafanua juu ya mkanganyiko uliojitokeza katika mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi, Agosti 4 ambapo tiketi za mashabiki ziliingiliana na tiketi za mchezo wa watani wao Simba.

Dismas Ten (kulia) na baadhi ya viongozi wengine

Akielezea hilo katika mkutano na wanahabari Makao Makuu ya Yanga hii leo kwa niaba ya Yanga, mwakilishi wa kampuni ya Salecom inayouza tiketi katika Uwanja wa Taifa amesema kuwa waliweka mechi mbili katika mfumo ili kuwawezesha mashabiki wa timu zote kununua tiketi kwa urahisi ambapo muda uliowekwa ulipoisha, tayari mechi iliyofuata ikaanza kuonesha tiketi zake.

"Huu mfumo upo kidigitali kwahiyo mechi ya Yanga tulipewa 'kick-off' ya saa 5 kwa maana ya shughuli kuanza kwahyo huwa tunahesabu masaa mawili kwa mchezo kumalizika ndio maana ilipofika saa 7 mfumo ukaanza kuonesha tiketi za mchezo unaofuata kwa kuwa ulishapima kuwa mchezo wa kwanza umemalizika", amesema.

"Lakini kwa kile kipande kidogo kilichoonesha tiketi za mchezo unaofuata, ambapo baada ya kugundua tukarekebisha na mapato yaliyoingia katika mchezo huo yakarudhishwa", ameongeza.

Aidha Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa klabu hiyo imejiandaa vya kutosha kuelekea mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Towship Rollers kesho Jumamosi, huku akiwataka mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani kama walivyofanya kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava