Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuondoka Machi 30,2023

Jumatano , 22nd Mar , 2023

Kikosi cha klabu ya Yanga kinataraji kuondoka nchini Jumanne ya Machi 30 kuelekea nchini DR Congo kwa ajili ya mchezo wa kuhitimisha hatua ya makundi michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe utakaochezwa Jumapili Aprili 2, 2023.

Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Ali Kamwe amesema wanaendelea na maandalizi ya safari hiyo lakini amesisitiza licha ya kwamba wameshatinga robo fainali ya michuano hiyo lakini bado wanauhitaji ushindi dhidi ya TP Mazembe mabingwa wa zamani wa kombe hilo.

"Tunajivunia kuwa na mashabiki bora kwenye Klabu na hili tumelidhibitisha kwenye michezo yetu mitatu ya Kimataifa tukiwa nyumbani na sasa Uongozi wa Klabu umeamua lazima usafiri na mashabiki wake kwenda nao Congo kwenye mchezo wetu wa mwisho kwenye hatua ya makundi"amesema Kamwe

Kwa upande mwingine:Ali Kamwe ametangaza kuwa kutakuwa na uratibu mzuri wa Usafiri kwa mashabiki, wanachama na wapenzi wa klabu hiyo kwa ajili ya kwenda nchini DR Congo kuutazama mchezo huo.

Vile vile Yanga SC imethibitsha kuwa itawakosa nyota wake watatu kwenye mchezo huo, Mlinda mlango Djigui Diarra, kiungo Khalid Aucho na beki Djuma Shabani ambao wanakosekana kwasababu za kikanuni baada ya kuoneshwa kadi za njano mfululizo.

Yanga SC ndiye kinara wa kundi D ikiwa na alama 10 sawa na US Monastir ya Tunisia ambao wanatofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa, TP Mazember watatu akiwa na alama 3 huku AS Real Bamako ya Mali ikishika mkia ikiwa na alama 1.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava