Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wiki ya fursa kutengeneza faida na Meridianbet

Jumanne , 26th Jan , 2021

Baada ya mzunguko wa 4 wa kombe la FA, EPL itaendelea wiki hii. Meridianbet hatukuachi nyuma, tunakwenda na wewe kila hatua!

Mchezo wa Tottenham dhidi ya Liverpool kwenye Meridianbet

Southampton atakamribisha tena Arsenal pale St. Mary’s Stadium. Baada ya kumtoa kwenye FA, Soton anaingia kwenye mchezo huu akiwa na lengo la kuendelea kumuumiza Arsenal. Itawezekana?? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.55 kwa Arsenal kupindua meza Jumanne hii.

Chelsea atakuwa nyumbani “Stamford Bridge” kuwakaribisha Wolverhampton Jumanne hii. Bado timu hizi zinajitafuta katika kupata matokeo yanayoendana na ubora wa vikosi vyao. Wolves alishinda mchezo wa kwanza, lakini vipi wiki hii ataibuka kidedea tena? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.70 kwa Chelsea kama mwenyeji wa mchezo huu.

Macho ya mashabiki wa EPL yataangazia zaidi mchezo wa Alhamisi ambapo Tottenham watawaalika Liverpool. Huu ni mchezo unaozikutanisha timu 2 zinazopambania kuwania ubingwa wa EPL msimu huu.

Spurs anaingia kwenye mchezo huu akitoka kwenye ushindi wa FA Cup na EPL, Liverpool anaingia akiwa na machungu ya kutopata matokeo kwenye michezo 4 mfululizo, kipigo dhidi ya Man United (FA Cup) na Burnley (EPL) hakika vinawatia ndimu Liverpool kwenye mchezo huu.

Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.40 kwa bingwa mtetezi wa EPL – Liverpool.

Kule kwenye Serie A kutakuwa na mchezo wa Milan Derby, Inter Milan vs AC Milan. Timu zote zinawania Scudetto msimu huu zikiwa katika nafasi ya 1 na 2. Nani ataweka wigo wake vizuri? Meridiabet tumekuwekea Odds ya 2.25 kwa Inter Jumanne hii.

Atalanta uso kwa uso na Lazio Jumatano hii. Hizi ni timu ambazo hazipo mbali sana na nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa Serie A. Atalanta (5) na Lazio (7) zote zinanafasi ya kupambania Scudetto msimu huu. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.00 kwa Atalanta.

Napoli atachuana na Spezia kwenye mchezo mwingine wa Serie A siku ya Alhamisi. Timu zote zinanafasi ya kukutengenezea faida kubwa ukiwa na Meridianbet. Tumekuwekea Odds ya 1.40 kwa Napoli kama mwenyeji wa mchezo huu.

Kule La Liga kutakuwa na mtanange wa Sevilla vs Valencia. Timu zote zipo katika kiwango kizuri kwa sasa na chochote kinaweza kutokea kwenye mchezo huu. Kama Meridianbet, tumekuwekea Odds ya 1.70 kwa Sevilla Jumatano hii.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava