Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VPL michezo mitatu leo, Yanga inashuka dimbani

Alhamisi , 17th Jun , 2021

Ligi Kuu Tanzania bara raundi ya 31, itaendelea tena leo kwa michezo mitatu kuchewa jijini Dar es salaam, Dodoma na huko mkoani shinyanga, mchezo unaosubiliwa kwa hamu ni ule wa Ruvu Shooting dhidi ya Yanga utakao chezwa Saa 1:00 Usiku.

Wachezaji wa Yanga

Mchezo wa mapema unachezwa majira ya Saa 8 mchana. Mwadui FC ambao wameshashuka daraja watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar wanao shika nafasi ya 13 kwenye ligi wakiwa na alama 34, mchezo huu unachezwa katika dimba la Mwadui Complex huko mkoani shinyanga.

Saa 10:00 Jioni Dodoma Jiji watakuwa wenyeji wa KMC ya Dar es salaam katika Dimba la Jamuhuri. Timu hizi zinatofautiana alama 2 tu kwenye msimamo, KMC wapo juu wakiwa nafasi ya 6 na alama zao 41 wakati Dodoma wana alama 39 wakiwa nafasi ya 9. Mchezo wa mkondo wa kwanza KMC ilishinda kwa bao 1-0.

Na Mchezo wa Mwisho kesho Ruvu shooting watakuwa wenyeji wa Yanga SC majira ya Saa 1:00 Usiku. Ruvu shooting watakuwa na kibarua cha kufuta uteja mbele ya Yanga, kwani kwenye michezo 8 ya mwisho kukutana wameshinda mara moja tu, na mchezo wa mkondo wa kwanza msimu huu walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1.

Ruvu shooting wapo nafasi ya 10 na alama 37, wakati Yanga wana alama 61 wakiwa wanamili nafasi ya pili.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava