Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vettel na Hamilton waburuzwa tena na Ricciardo

Jumapili , 27th Mei , 2018

Dereva wa timu ya Red Bull Daniel Ricciardo, ameibuka mshindi wa mbio za magari duniani 'Formula One' kwenye mji wa Monaco nchini Ufaransa akiwabwaga nguli Lewis Hamilton wa Mercedes na Sebastian Vettel wa Ferrari.

Mbio hizo ambazo zimemalizika jioni hii Daniel Ricciardo amefanikiwa kuongoza katika mbio zote kwa mara ya kwanza akianza na mbio za majaribio ambapo alifanya hivyo jana na leo kwenye mbio kuu ameibuka kinara. 

Nafasi ya pili kwenye mbio za Monaco Grand Prix leo imeshikwa na Sebastian Vettel huku nafasi ya tatu ikishikwa na bingwa mtetezi Lewis Hamilton ambaye alishika namba moja kwenye mbioz za Barcelona GP mwezi uliopita.

Baada ya kuongoza leo, Ricciardo sasa amepanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa madereva msimu huu, akifikisha alama 72 kwenye mbio 7 ambazo tayari zimeshafanyika.

Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na Lewis Hamilton akiwa na alama 110 huku nafasi ya pili akiendelea kuwepo Sebastian Vettel akiwa na alama 96. Mbio zinazofuata ni katika miji mbalimbali huko Canada (Canadian Grand Prix).
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava