Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

United wapanga kumuachia Ronaldo

Jumanne , 16th Aug , 2022

Klabu ya Manchester United inafikiria kumruhusu Cristiano Ronaldo kuondoka Old Trafford kabla ya dirisha la usajili la sasa kufungwa kufuatia kuwepo kwa wasiwasi kwamba hali ya mshambuliaji huyo inaathiri ari ya kambi.

Cristiano Ronaldo mshambuliaji wa Manchester United

Kwa muda mrefu msimamo wa kocha Erik ten Hag umekuwa kwamba Ronaldo hauzwi na ni sehemu ya mipango yake katika kikosi hicho, lakini vipigo vya mfululizo vya ligi kuu dhidi ya Brighton na Brentford vimetikisa vibaya United, na sehemu kubwa ya kushindwa huko imewekwa kwa Ronaldo.

Nyota huyo wa kireno mwenye umri wa miaka 37, amekua akiishi kana kwamba hayupo katika klabu hiyo, kwani hawezi kuwasiliana na wachezaji wenzake wala hakai nao pamoja kantini na bado anaonesha wazi nia yake ya kutaka kuondoka.

Ronaldo amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba baada ya kurejea klabuni hapo kutoka Juventus msimu uliyopita, lakini anataka United wamuacha aondoke majira haya ya joto.

Sasa suala hili kocha Ten Hag, mtendaji mkuu Richard Arnold na mkurugenzi wa soka John Murtough waweripotiwa kulifanyia kazi kabla ya dirisha la usajili kufungwa tarehe 1 Septemba. United wako mkiani mwa ligi kuu ya England na watacheza dhidi ya Liverpool Jumatatu ijayo Agosti 22.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava