Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ubora wa Argentina kuelekea kombe la Dunia

Jumatano , 28th Sep , 2022

Mabingwa mara mbili wa kombe la Dunia timu ya taifa ya Argentina imeendeleza rekodi yake ya kufanya vizuri, wamefikisha idadi ya michezo 35 waliyocheza bila kufungwa hii ni mara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya timu ya taifa ya Jamaica kwenye mchezo wa kirafiki.

Argentina wamecheza michezo 35 mfululizo bila kufungwa, mara ya mwisho kupoteza mchezo ulikuwa Julai 2019.

Ushindi huu dhidi ya Jamaica sasa Argentina inahitaji ushindi kwenye michezo miwili ijayo ili kuifikia rekodi ya timu ya taifa ya Italia ya kucheza michezo mingi bila kupoteza michezo 37. Mabao ya ushindi ya Argentina kwenye mchezo huo yamefungwa na Julian Alvarez na Lionel Messi aliyefunga mara 2.

Mara ya mwisho Argentina kupoteza mchezo ilikuwa Julai 2, 2019. walifungwa na Brazili mabao 2-0, toka hapo wamecheza michezo 35 bila kupoteza wameshinda michezo 24 sare michezo 11 wamefunga mabao 70 wamefungwa mabao17.

Mabingwa hao wa Dunia mwaka 1978 na 1989 ni moja ya timu inayopigiwa upatu kutwaa ubingwa wa fainali za kombe la Dunia zinazofanyika nchini Qatar mwaka huu kuanzia November 20 hadi Disemba 18, 2022. Wamepangwa kundi C na mchezo wao wa kwanza watacheza dhidi ya Saudi Arabia November 22.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava