Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunalipa faini CAF , Simba

Jumanne , 17th Mei , 2022

Uongozi wa klabu ya Simba umekiri kosa na kubainisha kuwa ipo tayari kulipa faini ambayo Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imewatoza.

kikosi cha Simba.

Jana CAF ilieleza kuitoza klabu hiyo faini ya Sh23 Milioni kwa kosa la kuwasha moto eneo la katikati ya uwanja wakati wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya kusali.

Picha za tukio hilo zilisambaa wakati wa mchezo wa marudiano wa robo fainali ya CAF nchini Afrika Kusini, Simba ilipocheza na wenyeji, Orlando Pirates.

Katika mchezo huo, Simba ilifungwa bao 1-0 na kuondoshwa kwa mikwaju ya penalti kufuatia ushindi wa bao 1-0 ilioupata awali nyumbani kwenye uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam huku wenyeji wakitinga nusu fainali.

Kauli hiyo imesemwa na Mkurungezi wa kitengo cha habari wa Simba, Ahmed Ally amesema hawana cha kujitetea kwenye adhabu hiyo, ni kosa walifanya hivyo hawana budi kulipa faini hiyo.

'Taarifa za adhabu hiyo tunazo na hatuna budi kulipa faini kwa kuwa ni kosa ambalo limeshafanyika na CAF imetoa adhabu yake," amesema Ahmed.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava