Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tsonga atangaza kustaafu Tennis

Jumatano , 25th Mei , 2022

Nyota wa mchezo wa tennis Mfaransa Jo-Wilfried Tsonga ametangaza kustaafu mchezo huo baada ya kuondoshwa na Mnorway Casper Ruud kwa seti 6-7 (6-8) 7-6 (7-4) 6-2 7-6 na (7-0) kwenye michuano ya wazi ya Ufaransa (Frenc open 2022).

Nyota Jo-Wilfried Tsonga akiwaaga mashabiki wake

Tsonga mwenye umri wa miaka 37,amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya mguu tangu mwaka 2020,Amehitimisha miaka 18 ya kucheza mchezo wa tennis akishinda kwenye michezo 467 huku akijivunia kushika nafasi ya 5 kwa viwango vya ubora duniani kwa mchezo wa tennis.

"leo ni siku kubwa kwangu ,siku ya kusema kwaherini na kuwashukuru watu wote mliokuwa nami kwenye safari yangu ya mchezo wa tennis na najiona mtu mwenye bahati kupata nafasi ya kuwa mmoja wa kizazi bora cha mchezo wa tennis kutoka nchini Ufaransa “ amesema Tsonga.

Nyota huyo ameshinda mataji 18 sambamba na kufika fainali mbili za Wimbledon na hatua mbili za nusu fainali ya michuano ya wazi ya Ufaransa pamoja na kutwaa taji la Davis Cup mwaka 2017.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava