Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzanite yaweka kambi Arusha

Jumatatu , 24th Jan , 2022

Timu ya Taifa ya Tanzania ya wanawake chini ya miaka 20 ''Tanzanite'' imeondoka Zanzibar kuelekea Karatu mkoani Arusha kwa kambi ya maandalizi ya mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia utakaochezwa mapema mwezi ujao.

Wachezaji wa Tanzanite wakishangilia goli dhidi ya Ethiopia

Tanzanite imeondoka visiwani Zanzibara leo baada ya hapo jana kushinda bao 1-0 dhidi ya Ethiopia kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza ambao umechezwa katika uwanja wa Amaan  Zanzibar. Bao pekee la mchezo huo limefungwa na Christer John dakika ya 64 kwa mpira wa adhabu (free kick).

Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini TFF Wilfred Kidao aliweka wazi kuwa kikosi hicho kitaweka kambi Karatu kwa sababu hali ya hewa ya huko inafanana na ile ya Ethiopia ambapo Tanzanite itacheza mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wenyeji wao Ethiopia utakaochezwa kati ya Februari 4 mpaka 6 2022.

Mshindi wa jumla wa mchezo wa Tanzania na Ethiopia atacheza na mshindi wa jumla wa mchezo kati ya Ghana na Uganda kwenye hatua inayofata na tayari mchezo wa mkondo wa kwanza Ghana inaongoza 2-1. Afrika itawakilishwa na timu mbili tu kwenye fainali za kombe la Dunia za wanawake chini ya umri wa miaka 20 zitakazofanyika nchini Costa Rica mwezi Agosti mwaka huu.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava