Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Takwimu za Stephen Curry, ashinda tuzo ya MVP NBA

Ijumaa , 27th Mei , 2022

Mchezaji nyota wa Golden State Worriors Stephen Curry ameshinda tuzo ya mchezaji bora (MVP) wa fainali ya ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA ukanda wa Magharibi baada ya kuisaidia timu yake kufuzu fainali ya NBA 2022, baada ya kuifunga Dallas Maverick .

Mchezaji nyota wa Golden State Worriors Stephen Curry

Tuzo hii ya MVP aliyoshinda Curry ya ukanda wa Mahgaribi ni mpya inabeba jina la Magic Johnson na ameshinda tuzo hii baada ya kupigiwa kura na jopo la waandishi wa habari 9. 

Curry ameshinda tuzo hii baada ya kukiongoza kikosi cha Worriors kushinda mchezo wa 5 (game 5) alfajiri ya leo kwa ushindi wa alama 120 kwa 110 dhidi ya Dallas Maverick. Kwenye mchezo huu amefunga amefunga alama 15 pasi za kufunga (Assist) 9 na Rebound 3.

Katika michezo ya fainali wastani wa Stephen Curry kupata alama ni 23.8  kwa mchezo pasi za kufunga (Assists) 7.4 na watastan wa rebound ni 6.6 kwenye michezo 5 ya fainali.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava