Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spurs sasa wanahitaji alama moja kufuzu UEFA

Jumanne , 17th Mei , 2022

Baada ya klabu ya Arsenal kupoteza mchezo wake wa jana usiku dhidi ya Newcastle United kwa magoli mawili kwa sifuri, Wamewapa nafasi nzuri Tottenham na Arsenal kujiweka katika wakati mgumu kuwania kumaliza katika nafasi nne za juu katika msimamo wa ligi kuu ya England msimu huu.

(Wachezaji wa Tottenham wakishangilia goli dhidi ya Arsenal)

Sasa Tottenham hotspurs wamebaki nafasi ya nne na alama zao 68, huku Arseanal wakisalia katika nafasi ya 5 na alama zao 66, hivyo kuwa nyuma kwa tofauti ya alama mbili. Spurs wanahitaji ushindi ama sare katika mchezo wao wa mwisho ili wafuzu kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya msimu ujao, huku Arsenal wakilazimika kushinda mchezo wa mwisho na wakati huo wakiomba spurs wapoteze mchezo wao wa mwisho ili waweze kucheza ligi ya mabingwa msimu ujao.

Ligi kuu ya England itafikia tamati mwisho wa wiki hii na Arsenal wamebakisha mchezo dhidi ya Everton wakiwa nyumbani katika uwanja wa Emirates, huku wapinzani wao Tottenham wakibakisha mchezo wa ugenini dhidi ya Norwich City ambao tayari wamesha shuka daraja.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava