Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sprite Bball Kings 2019, vitu vya kunogesha

Alhamisi , 8th Aug , 2019

Mashindano ya mpira wa kikapu kwa wanaume ya Sprite Bball Kings yanayoandaliwa na East Africa Television na East Africa Radio na kupewa nguvu na kinywaji cha Sprite, yanatarajia kuanza hivi karibuni kwa msimu wa tatu.

Sprite Bball Kings 2019

Mashindano hayo yatakayofanyika kwa mwaka wa tatu mfululizo, yataanzia katika hatua ya mchujo kisha hatua ya 16 bora, robo fainali, nusu fainali hadi fainali.

Klabu zinaruhusiwa kusajili wachezaji 10 ambapo 6 kati yao watatoka katika ligi daraja la kwanza popote duniani, ilimradi awe Mtanzania na wengine wanne kutoka daraja lolote na ambao hawashiriki ligi yoyote.

Mashindano haya hayatakuwa na tozo yoyote katika kushiriki na sheria zitakazotumika kuendesha mashindano ni za Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA), pamoja na kanuni za Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF).

Tarehe ya kuanza kwa mashindano pamoja na utaratibu mzima wa jinsi mashindano yatakavyoendeshwa ikiwemo usaili wa timu, utatangazwa hivi karibuni kupitia EATV na EA Radio pamoja na EATV&Radio Digital.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava