Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Solskjaer awatupia lawama waamuzi

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amemtupia lawama mwamuzi wa kati, Stuart Atwell kwa kushindwa kutoa penalty kwa upande wao baada ya kudai winga wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi aliucheza mpira kwa mkono jambo lilipelekea wakose ushindi muhimu.

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer.

Solsjkaer amesema, licha ya tukio kutazamwa zaidi ya mara moja na jopo la waamuzi wa VAR lakini hakuweza kupata penalti hiyo na kuamini sababu iliyopelekea wadondoshe alama mbili ni maamuzi mabovu ya mwamuzi huyo wa kati na jopo zima la VAR.

Kwa upande wa kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel amekiri kuwa na mtazamo tofauti na kocha wa Manchester United, Solskjaer na kuamini tukio hilo halikuwa penalti na kushangazwa kwanini ililazimika jopo la waamuzi wa VAR kurejea tukio hilo.

Baada ya sare hiyo, Manchester United imesalia nafasi ya pili ikiwa na alama 50 utofauti wa alama 12 na kinara Manchester City mwenye alama 62 wakiwa na idadi sawa ya michezo, michezo 26 ilhali Chelsea imekwama kwenye nafasi ya tano ikiwa na alama 44.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava