Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United yawekeza

Jumamosi , 16th Dec , 2017

Klabu ya Singida United imewekeza kwa vijana baada ya kuwanasa vijana wanne waliokuwa na timu ya taifa ya vijana wa umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys iliyoshiriki michuano ya AFCON 2017 nchini Gabon.

Singida United imeeleza kuwa hatua hiyo nni mipango ya klabu katika kusaidia vijana wenye vipaji na vimeshaonekana katika ngazi ya taifa.  Pamoja na hilo usajili huo umeelezwa kuwa ni mipango ya maboresho ya kikosi hicho kuwa na timu imara itakayodumu kwa muda mrefu.

Vijana waliosajiliwa ni aliyekuwa nahodha wa Serengeti Boys, Issa Makamba ambaye anacheza nafasi ya kiungo wa kati, mshambuliaji Assad Juma, mlinzi  Ally Ng’azi na mshambuliaji Mohamed Abdallah.

Wachezaji hao wanne wamesaini mkataba wa miaka mitatu kila mmoja na wamelipwa Ada ya usajili (Signing fee) pamoja na stahiki zao zingine ambazo wataendelea kulipwa ikiwemo mishahara.

Katika usajili huu wa dirisha dogo Singida United imeongeza nyota kadhaa ambao ni Daniel Lyanga kutoka Fanja ya Oman, mwingine ni Lubinda Mundia kutoka Zambia pamoja na mshambuliaji kutoka DRCongo Kambale Salita 'Papy Kambale'.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava