Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba kujiandaa kimataifa

Jumapili , 16th Jul , 2017

Washindi wa Kombe la FA Simba SC, wanatarajia kuondoka nchini siku ya kesho (Jumatatu) alfajiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya kujiandaa michuano ya Ligi kuu inayotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao kwa msimu wa mwaka 2017/2018.

Hayo yamewekwa wazi na taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, ambapo imesema ikiwa Afrika ya Kusini itacheza mechi kadhaa za kujipima nguvu na vilabu vilivyopo huko kabla ya mchezo wake wa kwanza Agosti 8 mwaka huu (SIMBA DAY), utakaopigwa katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na hayo, taarifa hiyo ilienda mbali zaidi na kusema wachezaji waliopo kwenye kikosi cha timu ya Taifa Stars hawataondoka siku ya kesho na badala yake wataendelea kubaki kwenye kambi ya Taifa Stars mpaka pale watakapomaliza mchezo wa marudiano dhidi ya Rwanda utakaochezwa mjini Kigali mnamo Julai 22 nchini Rwanda.

Wakati huo huo, klabu ya Simba imeungana na wanamichezo na watanzania wengine kumpa pole Waziri mwenye dhamana ya michezo nchini Dr Harrison Mwakyembe kwa kuondokewa na mke wake Bi. Linnah Mwakyembe.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava