Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wakubali kushindwa

Jumanne , 23rd Mei , 2017

Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu klabu ya Yanga kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara kwa msimu wa tatu mfululizo, Simba wameamua kuongeza nguvu zao katika fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya Mbao FC itakayopigwa Jumamosi Dodoma. 

Mohamed Ibrahim, mchezaji wa Simba SC

Akizungumza mtandao wa Simba mchezaji Mohamed Ibrahim 'Mo Ibrahim' amewataka mashabiki wa Simba kwa kipindi hiki kuongeza nguvu na kutokea kwa wingi siku ya Jumamosi kuwapa nguvu wachezaji ili waweze kushinda mchezo huo na kuchukua kombe hilo kwa kuwa wamekosa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu. 

"Fainali hiyo ya Jumamosi ni muhimu sana kwetu sababu tukishinda tunachukua kombe, mashabiki wajitokeze wengi kuja kushangilia timu yao siyo siri hatutawaangusha sababu kombe kubwa tumelikosa basi hata hili ambalo lipo pembeni itabidi tuchukue, kwa hiyo mashabiki wajitokeze kwa wingi kuja kushangilia ushindi na kombe tunalokwenda kuchukua" alisisitiza 'Mo Ibrahim'

Endapo Simba itatwaa ubingwa huo, itapata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, fursa ambayo imekosekana Msimazi kwa takriban miaka minne sasa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava