Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC waifata Kagera Sugar, leo Asubuhi

Jumanne , 25th Jan , 2022

Kikosi cha mabingwa wa Tanzania bara Simba SC kimeondoka Jijini Dar es salaam leo asubuhi kuelekea mkoani Kagera ambako kitacheza mchezo wa Ligi Kuu kesho Januari 26, 2020 dhidi ya Kagera Sugar.

Wachezaji wa Simba SC wakipanda ndege tayari kwa safari ya kuelekea Kagera

Kwa mujibu wa taarifa kikosi cha Simba kimeondoka na kikosi kamili kuelekea kwemnye mchezo huo wa Ligi ambao ni wa kiporo wa raundi ya 9. Kikosi hicho cha wekendu wa msimbazi kilifanya mazoezi ya mwisho jana Dar es salaam na inategemewa leo baada ya kufika Bukoba leo kitafanya tena mazoezi kwenye uwanja wa Kaitaba.

 

Wachezaji wa Simba Meddie Kagere Kulia akiwa na Sadio Kanoute kushoto wakiwa uwanja wa ndege wa Mawalimu Nyerere Dar es salaam

Kwenye michezo 2 ya mwisho Simba waliocheza kwenye uwanja wa Kaitaba imeshinda michezo yote ikiwemo ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa msimu uliopita mabao ambayo yalifungwa na Chris Mugalu na Luiz Jose Miqueson.

Simba wanaelekea kwenye mchezo huu wakiwa wameshinda michezo 2 tu kwenye michezo 5 ya mwisho na michezo miwili ya mwisho wamefungwa 1 na sare 1 wakati Kagera wameshinda mchezo 1 kwenye michezo 5 ya mwisho.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava