![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/09/18/Screen Shot 2023-09-18 at 9.41.38 AM.png?itok=JP-KNLS7×tamp=1695019352)
Yanga imepata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Al-Merrikh ya Sudan ugenini ilhali Simba SC wao wametoka sare ya 2-2 dhidi ya Power Dynamos ugenini nchini Zambia. Yanga SC tayari imesharejea nchini ilhali Simba SC inataraji kurejea Jumatatu ya leo Septemba 18, 2023 kuanzia saa 8 mchana.
Wawili hao wamesema wataweka wazi harakati zao za maandalizi ya michezo yao ya marudiano huku kili timu ikionekana kujiamini kutokana na matokeo waliyoyapata kwenye mchezo wao wa kwanza.