Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sean: Kyrie Irving hatocheza Brookly Nets NBA

Jumatano , 13th Oct , 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa timu ya Brooklyn Nets, Sean Marks amesema hali ilivyo kwasasa mchezaji wao nyota Kyrie Irving hatoweza kufanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wenzake na hata kuhusishwa kwenye masuala ya timu kwasababu bado hajapata chanjo ya Covid-19.

Nyota wa Brooklyn Nets, Kyrie Irving.

Sean amesema, “Kwasasa uamuzi wake una mzuia kuwa na timu katika mazingira yote. Na hatutomruhusu mtu yeyote wa timu yetu kushiriki nusu nusu. Kulingana na hali ilivyo, Kyrie Irving hatocheza walal kufanya mazoezi na timu mpaka atakapokuwa mchezaji halali kuruhusiwa kucheza”.

Msimamo huo wa Brooklyn umekuja baada ya sheria na taratibu za mji wa New York kusomeka kuwa, wachezaji na watu mashuhuri weengine ni lazima wachanje ili wahusike kwenye mikusanyiko na hata kwenye michezo yao ya ligi mbali mbali ikiwemo Covid-19.

Ikumbukwe kuwa Irving aliweka wazi msimamo wake juu y chanjo ya Covid-19 na kusema, “Mimi ninalindwa na Mungu, pamoja na watu. Tunasimama pamoja”.

Tyari Kyrie amekosa michezo mitatu ya NBA Pre-season ukiwemo ushindi wa kibabe mbele ya wapinzani wao Los Angeles Laker.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava