Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni 'War In Duola' Cameroon, Tanzania Vs Guinea

Jumatano , 27th Jan , 2021

Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars itajua hatma yake ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN leo saa 4:00 Usiku, ambapo itashuka dimbani dhidi ya timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa kundi D,Taifa stars inahitahi ushindi ilikusonga mbele.

Kikosi cha timu ya Taifa “Taifa Stars” wakiwa kwenye mazoezi Uwanja wa Bonamoussadi,Douala kuelekea mchezo wa mwisho Kundi D mashindano ya CHAN vs Guinea leo.

Timu hizi zinatofautiana alama 1 tu kwenye msimamo wa kundi D, Guinea ndio vinara wa kundi wakiwa na alama 4, baada ya kuifunga Namibia mabao 3-0 kwenye mchezo wa kwanza kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 Zambia kwenye mchezo uliopitana, wakati Tanzania wapo nafasi ya tatu wakiwa na alama 3 alama ambazo walizipata kwenye ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namibia baada ya kupoteza mchezo wa kwanza mbele ya Zambia.

Timu itakayoshinda mchezo huu itafuzu kucheza hatua ya robo fainali, lakini matokeo ya sare yatakuwa na faida zaidi kwa Guinea, matokeao pekee yatayaoivusha taifa stars ni matokeo ya ushindi tu pasipokujalisha matokeo ya mchezo mwingine wa kundi hili ambao unazikutanisha Namibia ambayo inaburuza mkia kwenye kundi ikiwa haina alama hata moja na Zambia ambao wana alama 4 wakiwa nafasi ya pili mchezo ambao utachezwa Saa 4:00 Usiku.

Mshindi wa kundi hili atacheza na mshindi wa pili wa kundi C’ timu ya taifa ya Rwanda na timu itakayomaliza nafasi ya pili kwenye kundi D itacheza na kinara wa kundi C ambao ni mabingwa watetezi timu ya taifa ya Morocco.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava