Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni vita ya kisasi au heshima leo Yanga Vs Simba

Jumatano , 13th Jan , 2021

Fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2021 inapigwa leo usiku, uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Tanzania Simba na Yanga, itakuwa ikiumana kwenye mchezo huo wa fainali utakaopigwa Saa 2:15 Usiku.

Msimu huu kwenye mchezo wa ligi kuu Simba na Yanga zilitoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1

Yanga ndio walikuwa wa kwanza kutinga hatua ya fainali baada ya kuitoa kuitoa Azam FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 5-4 baada ya mchezo huo wa nusu fainali ya kwanza kumalizika kwa sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Kwenye nusu fainali ya pili Simba SC waliitoa Namungo kwa kuifunga mabao 2-1 na Simba kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali ya pili mfululizo ya mashindano haya. Katika fainali ya msimu uliopita Simba SC walipoteza mchezo huo mbela ya Mtibwa Sugar.

Miamba hii miwili kutoka mitaa ya K/koo jijini Dar es salaam, itashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kugawana alama kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2020-21 na mchezo huo ulimalizika kwa sare ya bao 1-1.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava