Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neymar alivyoifikia rekodi iliyodumu miaka 20

Jumatatu , 18th Jun , 2018

Nyota wa Brazil Neymar Jr, jana alijiwekea rekodi ya pekee japo haikuwa na msaada kwa timu yake, baada ya kuchezewa faulo mara nyingi zaidi kuliko mchezaji yoyote tangu alipofanyiwa hivyo Alan Shearer wa England mwaka 1998.

Katika mchezo huo wa kwanza kwa Brazil kwenye fainali za mwaka huu dhidi ya Switzerland, Neymar alichezewa jumla ya faulo 10, ikiwa ni mara nyingi zaidi tangu alipofanyiwa hivyo Alan Shearer mara 11 kwenye mchezo kati ya England na Tunisia.

Neymar Jr alitegemewa kuibeba nchi yake kwenye mchezo huo,lakini haikuwa hivyo baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Switzerland. Bao  la Brazil lilifungwa na kiungo Philippe Coutinho huku lile la Switzerland likifungwa na Steven Zuber.

Brazil jana ilishindwa kupata ushindi kwenye mchezo wake wa ufunguzi kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1934 ilipofungwa mabao 3-1 na Hispania. Katika mechi zake 21 za Kombe la Dunia Brazil imeshinda 16, sare 3 na kufungwa mara 2.

Brazil sasa inashika nafasi ya 2 kwenye Kundi E ikiwa nyuma ya Serbia ambayo ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Costa Rica huku Switzerland ikishika nafasi ya 3 na Costa Rica ikishika mkia.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava