Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndemla aongezwa Taifa Stars

Ijumaa , 16th Sep , 2022

Kiungo wa Singida Big Stars, Said Ndemla ameongezwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kitakachocheza mechi mbili za kimataifa za kirafiki nchini Libya.

Kocha Mkuu wa Stars, Mzambia Hanour Janza amethibitisha kumuongeza Ndemla kutokana na ubora wake aliouonyesha kwenye siku za hivi karibuni.

“Tumeamua kumuongeza kutokana na ubora wake na huenda tukaongeza wengine na kufika Jumamosi mtajua kila kitu,” amesema Janza anayeinoa pia Namungo.

 

Tanzania itajitupa uwanjani Septemba 24, 2022 kucheza na Uganda na mechi ya mwisho itacheza na Libya Septemba 27 kisha kurudi Tanzania.

Michezo hiyo iliyo kwenye kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) zitakuwa na faida kwa makocha wa timu zote kimbinu na mipango hususani Taifa Stars na Uganda ambazo hapo baadae zitakutana kwenye mechi za kuwania kufuzu Afcon.

Ikumbukwe siku chache zilizopita, Taifa Stars ilishindwa kufuzu fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN)  kwa kutolewa na Uganda kwa jumla ya mabao 4-0 baada ya kufungwa 1-0 nyumbani na kuchapwa 3-0 ugenin

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava