Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndanda yapania kuondoka Mbeya na alama 6

Ijumaa , 15th Sep , 2017

Ndanda FC imetamba kuondoka na alama 6 kwenye michezo yake miwili ya ligi kuu Tanzania bara mkoani Mbeya ambapo tayari imeshachukua alama 3 dhidi ya wenyeji Mbeya City wiki iliyopita na kesho inakutana na Prisons.

Msemaji wa Ndanda FC, Idris Bandali amesema kuwa timu yao imejiandaa vyema kwa wiki nzima ikiwa Mbeya na wanasubiri kuchukua alama tatu mbele ya wenyeji Prisons kwenye mchezo wa raundi ya tatu ligi kuu Tanzania Bara.

"Timu imejiandaa vyema, wiki yote hii tumekuwa hapa Mbeya wachezaji wamezoea hali ya hewa na tunategemea tutacheza vizuri na kuondoka na alama 3 ili kutimiza sita katika mechi zetu za Mbeya", amesema Bandali.

Bandalli pia ameeleza kuwa ripoti ya mwalimu baada ya mazoezi ya leo asubuhi inaonesha hakuna majeruhi yoyote kwenye timu hivyo wachezaji wote wapo tayarI kwa mchezo wa kesho. Ndanda ina alama 3 ikiwa imeshinda mechi moja na kupoteza moja dhidi ya Azam FC.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava