Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamichezo mwanaume akutwa mjamzito

Jumanne , 6th Aug , 2019

Mwanamichezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani Donell Cooper, amezua gumzo ulimwenguni baada ya kupimwa mkojo na kukutwa mjamizito wakati anafanya vipimo vya afya ili kujiunga na timu nchini Bosnia Herzogovina.

Mwanamichezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani Donell Cooper

Inadaiwa kuwa mchezaji huyo ametumia mkojo wa mpenzi wake ili kukwepa kupimwa kwa sababu alikuwa anatumiwa dawa za kuongeza nguvu.

Kipimo cha kumgundua mtu anayetumia madawa ya kulevya kiitwacho Human Chorionic Gonadotropin (HGO) kimeonyesha kuwa mchezaji huyo ni mjamzito.

Baada ya kugundulika kuwa ametumia mkojo wa mpenzi wake Donell Cooper amesema hata yeye alikuwa hajui kama mpenzi wake ni mjamzito na amefanya hivyo ili kukwepa kugundulika kama anatumia dawa ya kuongeza nguvu.

Mchezaji huyo wa zamani wa timu ya Monaco na Ohio kwa sasa amefungiwa miaka 2 na chama cha mpira wa kikapu duniani (FIBA) kutojiuhusisha na mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava