
Mathew Akrama
Mwenyekiti wa Kamati hiyo Salum Umande Chama ndiye aliyetoa taarfa hiyo leo, ikiwa ni siku moja baada ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) kupitia kwa msemaji wake Alfred Lucas kudai kuwa jina la mwamuzi huyo lingekuwa siri hadi siku ya mchezo.