Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkwasa kuwashika koo waliochoma jezi

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Katibu Mkuu wa Klabu ya Mabingwa wa Ligii kuu Tanzania Bara Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amelaani vikali kitendo cha mashabiki wa timu yake kuchoma moto jezi ya aliyekuwa mchezaji wao kwa kusema kitendo hicho kinashusha heshima ya timu.

Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa

Mkwasa amebainisha hayo masaa machache yaliyopita tokea mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo kuchukizwa na kitendo cha kuondoka kwa Nahodha Haruna Niyonzima, na kupelekea kuchoma moto jezi yenye namba nane mgongoni ambayo ndiyo aliyokuwa anavaa kipindi akiingia uwanjani.

"Wanachama niwaombe wawe na utulivu wawe na umakini haya mambo ni ya kawaida katika mchezo na Haruna kutoka kwenda timu nyingine siyo mara ya kwanza kwa wachezaji waliowahi kupitia Yanga, wapo wengi wamepitia lakini hakikuwa kitendo kama hicho kwa hiyo mimi nakikemea sikiungi mkono na ninawaombe wale wengine waliyokuwa na mawazo kama hayo wasiwe na mawazo hayo wajaribu kuwa na umoja huu. Mpira ni ushindani na kujenga uhusiano mzuri" alisema Mkwasa.

Pamoja na hayo, Mkwasa amesema kitendo hicho kinawadhalilisha wao wenyewe mashabiki wanaofanya hivyo pamoja na klabu nzima kwa ujumla kwa kudai jezi hiyo ina nembo inayotambulisha timu yao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava