Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga BBall Stars yabeba ubingwa

Jumamosi , 2nd Sep , 2017

Mchenga BBall Stars wamefanikiwa kuwachapa wapinzani wao TMT kwa pointi 102-94 mchezo wa tano na wa mwisho katika fainali za Sprite BBall Kings uliyopigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam jioni ya leo.

Timu ya Mchenga BBall Stars wakiwa pamoja na Afisa Masoko msaidizi wa kampuni ya Coca-Cola Pamela Lugenge (aliyevaa t-shirt ya blue).

Kutokana na matokeo hayo timu ya Mchenga BBall Stars imeweza kuwa mabingwa wa Sprite BBall Kings kwa mwaka 2017 na kuweza kuchukua kile kitita cha Milioni 10 kama zawadi ya mshindi wa kwanza pamoja na kikombe chake huku TMT ikiangukia nafasi ya pili na kuchukua zawadi ya Milioni tatu.

Timu ya TMT ikiwa imeshikilia mfano wa hundi wenye thamani ya Milioni tatu baada ya kushinda nafasi ya pili michuano ya Sprite BBall Kings 2017.

Pamoja na hayo, mechi ya leo iliweze kuonyesha utofauti na ufundi mkubwa kutokana na timu zote mbili kupania kuwa bingwa jambo ambalo lilipelekea timu hizo kujikuta zikitoka sare ya pointi 84-84 kwa mara ya kwanza na kupelekea waamuzi kulazimika kuongeza dakika nyingine tano ili aweze kupatikana mshindi wa mashindano hayo na ndipo Mchenga BBall Stars alipomchapa TMT jumla ya pointi 102-94

Kwa upande mwingine, mchezaji Rwahabura Munyagi kutoka timu ya Mchenga BBall Stars ameweza kushinda nafasi ya mchezaji bora 'MVP' kwa kuweza kuipigania timu yake kushinda mchezo wa leo.
 

Rwahabura Munyagi aliyeshinda nafasi ya mchezaji bora 'MVP' katika michuano ya Sprite BBall Kings kwa mwaka 2017.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava