Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbrazil ashangazwa na mashabiki wa Simba

Jumatano , 7th Aug , 2019

Kiungo mpya wa klabu ya Simba, Gerson Fraga Vieira ameelezea jinsi alivyoshangazwa na mashabiki wa klabu hiyo waliojitokeza katika mchezo wa Simba Day hapo jana.

Gerson Fraga Vieira akishangilia na Kagere

Akizungyumza mara baada ya mchezo kumalizika, Gerson ambaye alimudu vizuri nafasi ya kiungo amesema kuwa hakutarajia kukutana na wimbi kubwa la mashabiki wa namna ile ambao wanashangilia wakati wote klabu yao, huku akiwaahidi makubwa msimu huu.

"Ulikuwa ni usiku wa kipekee kwenye maisha yangu, najisikia furaha sana kwa sababu hali ilivyokuwa hapa uwanja wa Taifa ni nzuri sana. Ninaomba kila wakati nipate sapoti kama hii ya mashabiki ambayo ni ya ajabu sana", amesema Gerson.

"Mashabiki watarajie mazuri maana napenda kucheza mpira na napenda kujipa changamoto mwenyewe, napenda kupigania mpira na napenda kuwa na mpira wakati wote", ameongeza.

Tamasha hilo la Simba Day lilikamilika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Power Dynamos ya Zambia, huku mshambuliaji Meddie Kagere akifunga hat-trick. Mchezo unaofuata wikiendi hii,  Simba itacheza na UD Do Songo ya Msumbiji katika mchezo wa hatua ya kwanza kuwania kufuzu makundi ya Klabu Bingwa Afrika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava