Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#AUDIO Mbaraka azima 'kelele' za Kagera Sugar

Jumanne , 25th Jul , 2017

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbaraka Yusuph amethibitisha kwamba kwa sasa yeye ni mchezaji wa Azam Fc ambayo imemsajili mara baada ya kumalizika kwa msimu uliopita na pia hana mkataba na Kagera Sugar kama inavyozungumzwa.

"Siyo kila anayekwenda TFF anakesi mimi mkataba wangu wa Kagera umekwisha salama na tayari nimesaini na Azam FC hivyo ni kitu kikubwa kwangu na wala hakuna migogoro nyuma yangu" amesema kwenye mahojiano na EATV

Mbali na hayo Mbaraka ambaye alitikisa vilivyo msimu uliopita kwa kuviadhibu vilabu vya Yanga na Simba amesema kuitwa katika kikosi cha Stars kumemjengea imani kubwa kuwa anaweza kufanya chochote katika soka na kwa sasa inambidi apambane zaidi ili aweze kutimiza ndoto za kucheza soka la kulipwa.

Nyota huyo ambaye alikulia katika klabu ya Simba kabla ya kutolewa kwa mkopo Kagera Sugar na kuuzwa moja kwa moja amesema nidhamu na kujituma ndio nguzo pekee ya mchezaji yoyote mwenye malengo ya kufanikiwa kupitia mchezo huo.

Kinda huyo tegemeo la Tanzania amewaasa chipukizi kuwa wavumilivu na kujituma ili waweze kufika mbali katika medali ya soka kama anavyoona kwa upande wake hivi sasa.

Pamoja na hayo Mbaraka amedai kuwa  kuwepo kwake katika timu ya Taifa kumemfanya aweze kuanza kutimiza ndoto zake alitokua akiziota tangu utotoni kwa kucheza soka katika kiwango cha mbali zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava