Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matola aongelea usajili

Jumatano , 15th Nov , 2017

Kocha wa klabu ya Lipuli FC Suleiman Matola amesema tayari ameshawasilisha kwa uongozi mahitaji ya wachezaji anaowahitaji kwenye dirisha dogo la usajili.

Matola amesema kikosi chake kina mapungufu kwenye safu ya ushambulijai hivyo ni lazima afanye usajili kwenye dirisha dogo ili kuboresha timu yake kwaajili mwendelezo wa michezo ya ligi kuu.

Kwa upande wa idadi ya wachezaji Matola ameeleza kuwa anahitaji wachezaji wanne ili kukamilisha mipango yake ya kupata matokeo mazuri.

“Timu yangu inahitaji wachezaji wanne wakiwemo washambuliaji eneo ambalo mimi naona bado lina upungufu lakini pia maeneo mengine ikiwemo kiungo na ulinzi”, amesema Matola.

Matola amesema ana matumaini kuwa mapendekezo yake yatafanyiwa kazi mapema na uongozi wa klabu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu. Lipuli FC inashika nafasi ya 7 ikiwa na alama 14.

Dirisha dogo la usajili kwa vilabu vya ligi kuu Tanzania Bara limefunguliwa rasmi leo Novemba 15 na litadumu kwa kipindi kifupi cha mwezi mmoja kabla ya kufungwa Desemba 15 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava