Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wachelewesha mechi, United na Liverpool

Jumapili , 2nd Mei , 2021

Mashabiki wapatao 200 wa Manchester United wamevamia katika eneo la kuchezea (pitch) la uwanja wa Old Trafford kuendeleza maandamano ya kupinga umiliki wa familia ya Glazer katika klabu hiyo.

Mashabiki wa Man United waliovamia uwanja wa Old Trafford

Tukio hilo limefanyika mapema jioni hii ya leo Jumapili Mei 02, kabla ya mchezo wa Ligi kuu ya England dhidi ya Liverpool ambao ulipangwa kuanza majira ya saa 12:30 jioni ya leo.

Mashabiki hao tayari wameondolewa uwanjani na kikosi cha ulinzi na wengine kuamua kuondoka kabisa uwanjani hapo na kurudi majumbani kwao. Pia kulionekana kuwa na maandamano mengine nje ya hoteli ambayo wachezaji wa Man.United walipumzika kabla ya  kuelekea uwanjani kwa ajili ya mchezo huo.

Maandamano hayo yamekuja baada ya uamuzi wa wamiliki wa United, pamoja na vilabu vingine vitano vya Ligi Kuu ya England, kujiunga na European Super league mapema mwezi uliopita kabla ya vilabu vyote kujitoa katika mashindano hayo.

Mwamuzi wa mchezo huo Michael Oliver na nahodha wa zamani wa Man.United Gary Neville walikuwa miongoni mwa wale ambao magari yao yalizingirwa na mashabiki walipokua wanaingia uwanjani, lkini hadi sasa hakuna taarifa yoyote ya watu kujeruhiwa wala uharibifu wa mali.

Kwa mujibu wa Sky Sports, mchezo huo utachelewa kuanza ili kuhakikisha hali ya usalama inakuwa sawa katika mazingira ya uwanja.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava