Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wa Yanga wasingizia bahati

Jumatano , 11th Jan , 2017

Siku moja mara baada ya Wekundu wa Msimbazi Simba kufanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Mapinduzi, baadhi ya mashabiki wa soka hapa nchini wamekuwa na maoni tofauti juu ya mchezo huo.

Baadhi ya wachezaji wa Simba wkishangilia ushindi wao hapo jana usiku.

Wakiongea na Hotmix Michezo hii leo mashabiki hao wamesema mchezo huo wa watani wa jadi ambao ulishuhudia Yanga wakifurushwa kwa mikwaju ya penalti 4-2 kufuatia sare tasa ya bila kufungana ndani ya dakika 90 za mchezo huo uliofanyika jana usiku katika dimba la Amaan, visiwani Zanzibar kuwa ulikuwa mchezo uliotegemea bahati zaidi kutokana na timu zote kulingana kiuwezo.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao ni Tall Mrangi na Matipuli Sayona wakazi wa Jijini Dar es Salaam wamesema timu yao ilichezo vizuri lakini kilichowabeba Simba ni bahati katika hatua ya matuta.

Ikumbukwe kwa ushindi huo sasa Simba na Azam zitakutana tena katika fainali ya mashindano hayo siku ya Ijumaa Januari 13 mwaka huu ikiwa ni miaka mitano imepita tangu timu hizo zilipokutana katika nusu fainali mnamo mwaka 2012.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava