Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manny Pacquiao kugombea Urais Ufilipino 2022

Jumatatu , 20th Sep , 2021

Bondia wa kimataifa kutoka nchini Ufilipino, Manny Pacquiao ameweka wazi dhamira yake ya kuwania nafasi ya kiti cha urais kwa mwaka 2022, kwa kutokupendezwa na ufisadi uliokithiri kwenye serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Rodrigo Duterte ambaye anayemaliza wakati wake.

Bondia Manny Pacquiao akizipiga na Yordenis Ugas wa Cuba kwenye mpambano wa kuwania mkanda wa ubingwa wa WBA super welterweight Agosti mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kupotwza ubingwa huo.

Pacquiao, ambaye sasa ni seneta, aliteuliwa Jumapili na washirika wake wa chama cha PDP-Laban wakati wa bunge la kitaifa la chama hicho, ikiwa ni siku chache baada ya chama tawala kumchagua Rais wa sasa kama chaguo lao kuwania nafasi ya makamu wa urais na msaidizi wake wa muda mrefu, Seneta Christopher Go, kama mgombea urais.

Pacquiao kwa nyakati tofauti alikuwa mshirika wa karibu wa Rais Duterte, lakini baada ya uchuguzi wake na kugundua kuwa zaidi ya bilioni 10 za kifilipino zilizotolewa kwaajili ya misaada ya janga la UVIKO-19 iliyokusudiwa kusaidia familia masikini bado hazijulikani zilipokwenda.

Bingwa huyo wa mara nane kwenye uzani wa kati wa ngumi ulimwengu na shujaa mpendwa wa kitaifa anamaliza uvumi uliokuwa ukiendelea juu ya kustaafu masumbwi wiki kadhaa baada ya kupoteza pambano lake la mwisho la dhidi ya Mcuba, Yordenis Ugas huko Las Vegas.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava