Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mane amejiunga na Bayern Munich mpaka 2025

Jumatano , 22nd Jun , 2022

Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane amekamilisha usajili wa kujiunga na Bayern Munich ya Ujerumani akitokea Liverpool ya England kwa ada ya uhamisho ya pauni million 35 ambayo ni zaidi ya Billion 99 (kwa pesa ya Tanzania.

Sadio Mane amesaini miaka 3 Bayern Munich

Mane mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka 3 na Bayern Munich, na anaondoka Liverpool baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka 6, alijiunga na timu hiyo kutoka mitaa ya Merseyside mwaka 2016 akitokea Southampton.

Ameichezea Liverpool jumla ya michezo 269 na amefunga mabao 120 ameshinda makombe 6 ikiwemo Ubingwa wa Ligi Kuu England EPL na Ligi ya mabingwa barani Ulaya UEFA Champions League.

Na msimu uliopita wa 2021-22 Mane alifunga mabao 23 kwenye michezo 51 kwenye mashindano yote akiisaidia Liverpool kushinda makombe mawaili, Carabao Cup na FA Cup lakini pia Liverpool ilicheza fainali ya Ligi ya mabingwa Ulaya wakafungwa na Real Madrid na walimaliza nafasi ya pili kwenye EPL nyuma ya mabingwa Manchester City.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava