Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara ajitolea kuwasapoti Yanga, aeleza hofu yake

Alhamisi , 15th Aug , 2019

Afisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa amejitolea kuwasapoti wapinzani wake Yanga, Azam FC na KMC katika michezo ya Kimataifa kwa kuwa ni suala la Kitaifa.

Haji Manara

Akizungumza katika mkutano na wanahabari, Makao Makuu ya TFF leo, Manara amesema kuwa linapokuja suala la Kitaifa huwa anaacha unazi wa klabu yake na kuungana, hivyo yuko tayari kusapoti timu hizo ili kwa pamoja zifuzu hatua ya makundi ya michuano ya vilabu Afrika, akihofia kuwa kufeli kufanya vizuri kwa timu hizo kutarudisha nyuma nafasi nne walizozipata katika miaka ijayo.

"Siwapendi kwelikweli Yanga lakini kwenye masuala ya Kitaifa, dua na sala zangu naelekeza kwao lakini wao huwa hawanielewi. Wakifungwa nitawacheka sikatai lakini kwa sasa ninawaombea wote sisi tufuzu hatua ya makundi kuna faida nyingi sana, na sio Simba tu na Yanga bali hata Azam na KMC", amesema Manara.

Aidha Manara amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mchezo wa Ngao ya Jamii Jumamosi hii kati ya Simba na Azam FC katika Uwanja wa Taifa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava