Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kwa tukio hili, Mbappe kusalia PSG?

Jumatatu , 18th Oct , 2021

Mshambuliaji nyota wa PSG, Kylian Mbappe amezidi kuwaacha wengi njia panda juu ya hatma yake mara baada ya kuweka picha yake na rais wa timu hiyo Nasser Al-Khelaifi kwenye Instagram akaunti yake na kuandika ujumbe wa shukrani.

Mshambuliaji nyota wa PSG, Kylian Mbappe.

Mbappe ameandika “Nina njaa ya mafanikio siku zote, Ahsante sana PSG” ujumbe ambao unatafsiri nyingi ikiwemo kuashiria amerejesha furaha yake klabu hapo hivyo huenda akassalia kwa kuongeza mkataba mpya.

(Kylian Mbappe akiwa ameshikilia tuzo na rais wa klabu hiyo, Nasser Al-Khelaifi ya mchezaji bora wa mchezo wa PSG 2-1 Angers)

Mbappe ameweka picha hiyo baada ya kuibuka kuwa nyota wa mchezo kwa kufunga bao moja na kutoa assist kwa Danilo Perreira kuisadia PSG kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 na kuibakisha kileleni kwenye msimamo wa ligue 1.

PSG ina alama 27 kwenye michezo 10 iliyocheza, huku wakiwa wamepoteza mchezo mmoja pekee na kuiacha Lens kwa alama 9.

Ikumbukwe kuwa Kylian Mbappe mkataba wake na PSG utamalizika mwishoni mwa msimu huu n atayari alishakiri kutamani kuichezea klabu ya Real Madrid na almanusra ajiunge nayo miezi miwili iliyopita.

Mpaka sasa Mbappe ameshacheza michezo 12 kwenye Ligue 1 na michuano ya klabu bingwa ulaya, amefunga mabao 5 na kutengeneza assist 7 hivyo kuhusika kwenye mabao 17 katika michezo 10.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava