![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/11/mwanas.jpg?itok=Ey9EJhd5×tamp=1728667570)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu na Khadija Mwanamboka kushoto
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/11/badii.jpg?itok=jYEyP6V5×tamp=1728666103)
Picha ya msanii Marioo
Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani
Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/11/mnyaeruu.jpg?itok=cCCHJui2×tamp=1728653817)
Jeneza la Frank Mnyalu
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/11/Snapinsta.app_462442698_18468385573047601_6938577967560438369_n_1080.jpg?itok=Wt8nqwIs×tamp=1728648504)
Taifa Stars inashika nafasi ya pili kwenye kundi H nyuma ya Congo DRC yenye alama 9 ikiwa imecheza michezo mitatu sawa na idadi ya Stars iliyojikusanyia alama 4 iliyo nafasi ya pili. Timu ya taifa ya Tanzania imepoteza mchezo ugenini dhidi ya Congo DRC kwa goli 1-0, mchezo wa marudiano wa kufuzu michuano ya AFCON 2025 unatarajiwa kuchezwa Oktoba 15, 2024 Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaam.