Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KMC yaipigia hesabu Namungo

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Timu ya KMC leo imeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo utakaochezwa Oktoba 1 katika uwanja wa Majaliwa Ruangwa, Lindi.

KMC inayonolewa na kocha Mkuu, Thiery Hitimana imeanza kujifua baada ya kurejea kambini jana jioni baada ya kumaliza mapumziko ya siku mbili tangu ilipocheza na Ihefu Septemba 20 katika uwanja wa Uhuru, KMC ikishinda 2-1.

KMC inajiandaa na mchezo wao dhidi ya Namungo badala ya Mtibwa Sugar ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 27 lakini kutokana na wachezaji kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa mechi hiyo ilibadilishwa.

Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema mabadiliko ya mchezo wao na Mtibwa Sugar wameyapokea na kuyafanyia kazi.

“Tulipokea taarifa ya mabadiliko ya mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao awali ilikuwa tucheze siku ya Jumanne ya Septemba 27 kwenye uwanja wetu wa Uhuru, kwasasa tunajiandaa kwa mchezo mwingine ambao tutakuwa ugenini dhidi ya Namungo, tunajipanga vizuri kutafuta alama tatu muhimu ugenini." amesema Mwagala na kuongeza.

KMC FC imecheza mechi nne na kati ya hizo tatu ikiwa ugenini huku mmoja ikiwa kwenye uwanja wa nyumbani, ikiibuka na ushindi katika mchezo mmoja dhidi ya Ihefu na kutoa sare michezo miwili ambayo ni dhidi ya Simba pamoja na Polisi Tanzania huku ikipoteza dhidi ya Coastal Union.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava