Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KMC FC ya anzakujifua dhidi ya Singida Big Star

Alhamisi , 17th Nov , 2022

Kikosi cha KMC kimeanza maandalizi kuelekea katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Singida Big Star utakaochezwa Novemba 23 katika Uwanja wa Liti Mkoani Singida.

Kikosi cha KMC

Kikosi hicho cha Manispaa ya Kinondoni kimeanza maandalizi yake leo mara baada ya kutoka kupoteza mchezo uliopita dhidi ya Dodoma Jiji kwa magoli mawili kwa moja.

Katika maandalizi hayo, Kocha Mkuu Thierry Hitimana amepanga programu mbalimbali ikiwemo kufanya marekebisho ya makosa mbalimbali  yaliyojitokeza kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji na hivyo kupelekea kupoteza ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani.

KMC FC inajipanga kufanya vizuri kwenye mchezo unaokuja licha ya kuwa itakuwa ugenini na kwamba pamoja na ushindani uliopo kwenye Ligi bado Timu ipoimara katika kuhakikisha kuwa inafanya vizuri kwenye michezo inayokuja.

"Tunakwenda kwenye mchezo mwingine mgumu na wenye ushindani ambao  tutakuwa ugenini, bado hatujapata matokeo mazuri kwenye michezo minne  tuliyocheza ambapo kati ya hiyo tumepata amala moja dhidi ya Geita, ila hatukati tamaa kwasababu tunakikosi bora.

"Mchezo wetu dhidi ya Dodoma Jiji tulipoteza kutokana na changamoto ya uchovu, nanimatokeo ambayo yalimuumiza kila mmoja, lakini kama Timu bado tupo imara na hatujakata tamaa kwasababu tunafahamu wachezaji wetu wapo kwenye kiwango kizuri .

Mashabiki zetu na watanzania wote ambao mnatuunga mkono sikuzote tunawasihi msiwe na hofu pamoja na kwamba hatuna matokeo mazuri kwenye michezo minne mfululizo lakini bado tunanafasi nyingine ya kufanya vizuri kwenye michezo inayokuja.

Kwa upande wa Afya za wachezaji wote wako vizuri, lakini Matheo Anton anaendelea na programu ya mazoezi mepesi ya peke yake, Awesu Ally Awesu bado hajajiunga na wenzake na hivyo anaendelea na matibabu pamoja na uangalizi wa Daktari.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava